Troll JF JF-Expert Member Joined Feb 6, 2015 Posts 7,804 Reaction score 12,237 Jan 24, 2017 #1 Naamini hapa kuna Doctors wakuu Mimi nikinywa Supu/Mchemcho wa nyama yoyote nikaweka Ndimu na Pilipili Mdudu anakua kasimama tuu hadi kero hili Suala lilitaka kunitilia aibu kwani Mimi huwa sipendelei kuvaa zile boxer za Kubana. Je kitabibu hili limekaaje?
Naamini hapa kuna Doctors wakuu Mimi nikinywa Supu/Mchemcho wa nyama yoyote nikaweka Ndimu na Pilipili Mdudu anakua kasimama tuu hadi kero hili Suala lilitaka kunitilia aibu kwani Mimi huwa sipendelei kuvaa zile boxer za Kubana. Je kitabibu hili limekaaje?
goldie ink JF-Expert Member Joined Oct 6, 2016 Posts 5,634 Reaction score 9,149 Jan 24, 2017 #2 Pole sana mkuu.... Una kosa mambo mazuri. Kapime afya yako na nyama unazokula pia ni tatizo au yawezekana sehemu unayokula hawapiki ipasavyo.
Pole sana mkuu.... Una kosa mambo mazuri. Kapime afya yako na nyama unazokula pia ni tatizo au yawezekana sehemu unayokula hawapiki ipasavyo.
kizaizai JF-Expert Member Joined Mar 31, 2010 Posts 5,651 Reaction score 6,966 Jan 24, 2017 #3 Hahaaa, Jaribu supu ya kitimoto mkuu, ni supu ya pekee sana na hutoacha kuitumia.