Msaada: Nikiongea na msichana natokwa na ute kama shahawa

Msaada: Nikiongea na msichana natokwa na ute kama shahawa

Tunakufukuza Rasmi Kwenye member Wa CHAPUTA manake Puli imekuzidi uwezo unashindwa kujicontrol.
"Milango ipo wazi Kwa New members "
 
Pole sana , hiyo inaitwa "precum" ni kitangulizi cha bao, inatengenezwa na kisehem kinaitwa "seminal vessicles" nyuma ya uume ,hua inatolewa kuneutralize acidity ya urethra na kwenye uke maana chenyewe ni alkaline in nature,pia kulubricate urethra yako kabla bao halijapita.

Turudi kwenye shida yako kuna possibility mbili
1.unapiga sana punyeto
2.unawaza sana ngono

Kwa sababu ili precum itoke ina maana unajiandaa kupiga bao yani umekua stimulated, so ina maana ukiongea na mwanamke tu ushawaza ngono na kwa kua umejizoeza hivyo au umepiga sana punyeto kuna vitu vitatu vinaweza kua vimetokea
1.valve za kuzuia hiyo precum zimelegea
2.parasympathetic nervous system yako inayocontrol ejaculation imeathirika.l au
3.misuli ya chini ya nyonga inayocontrol mkojo, bao na vitu kama hivyo "pubococcygeal" imelegea
Mwa hiyo we ukishawaza ngono tu kila kitu kiko wazi vinapita, na kwa hali hii ipo siku utajipiga bao kwa kuongea tu
4.pia nahisi hata sa hzi unapiga bao mapema sana (premature ejaculation)

Suluhusho
1.ACHA PUNYETO
2.Punguza kuwaza ngono (najua huwezi kuacha ,punguza tu [emoji23] )


Maumivu yakizidi muone daktari (urolojist) kila la heri
nimeipenda hii mkuu naomba Namba yako ase!!?
 
Very simple ni rahisi sana [emoji41]OFU punguza OFU jiamin... Iki shindikana ikate tu naona ina kusumbua sana
 
Back
Top Bottom