Wakuu nisaidien hili tatito huwa nikipaka mafuta ya Vaseline petroleum jelly usoni baaz ya sehem chini y jicho huwa pana washa kias flan tatizo n nin et?
huwa najikuna muwasho ukizidHaujikuni!!!
OK Thanks mkuu nimekuptaTafuta brand nyingine kwa kuwa zipo nyingi tu
sawa ndugu nmekuptaTafuta brand nyingine kwa kuwa zipo nyingi tu
OK sister nmekupta ngoja nitajribu nayo kutumia hayoTumia olive oil
OK sister nmekupta ngoja nitajribu nayo kutumia hayo
dah mi bado sijamuelewa aiseee...maana jicho??? Vaseline kwa chini ya jicho...sidhan kama tunaongelea uso...jamaa litakua litakua mchicha poriDaah!
Huo uandishi sasa!
Imebidi nirudie kusoma mara tatu ndo nikaelewa kiasi....