Pantomath
JF-Expert Member
- Jan 4, 2019
- 842
- 3,449
Mwenye ujuz naomb msaada tafadhar,
nimejarb kutengeneza bisi za rangi, mara ya kwanza zikatoka vzr kbsaa, ila baada ya hapo mara zote tatu zimeungua hata kabla ya kupasuka na zikipasuka hazifai kula ni chungu mno,
nimekosea wap? Kile kisufuria chake nimekisafsha lakn wap? Msaada
nimejarb kutengeneza bisi za rangi, mara ya kwanza zikatoka vzr kbsaa, ila baada ya hapo mara zote tatu zimeungua hata kabla ya kupasuka na zikipasuka hazifai kula ni chungu mno,
nimekosea wap? Kile kisufuria chake nimekisafsha lakn wap? Msaada