Waliosoma saikolojia wanafahamu fika kuwa mtu huzungumzia jambo kwa ujuzi wake kama amelishiriki.Sasa udukuliwe wakati unashindia energy drinks na vitumbua.? Kuwa serious bhana
Anyway, ulikuwa unatafuta nn kwenye hy namba.?
Piga ##002# kucancel hiyo divert.Natuma code *#61#
Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu[emoji116]
View attachment 2938617
Sidukuliwi kweli?
Ht sijaelewa ulichoandikaWaliosoma saikolojia wanafahamu fika kuwa mtu huzungumzia jambo kwa ujuzi wake kama amelishiriki.
Pole ndg yangu kwa hayo mavitu energy na mandazi.
Hata hivyo bado uko juu kwa kuweza kuvipata. Kuna ndg zako hata huo uwezo hawana. wanashindia maji ya kidimbwi na kipande cha mhogo.
Sawa.Nakushukuru ndg
Nimefanikisha kuondoa hiyo divert kwa hii code uliyonipa.
Anamaanisha pole Kwa kula mandaziHt sijaelewa ulichoandika
Piga hii ##21#Natuma code *#61#
Kwenye simu yangu inaleta ujumbe huu[emoji116]
View attachment 2938617
Sidukuliwi kweli?