Msaada: Nilisitisha mkopo kwa lengo la kubadilisha kozi nataka niombe tena

Msaada: Nilisitisha mkopo kwa lengo la kubadilisha kozi nataka niombe tena

issawema

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2013
Posts
776
Reaction score
643
Habari zenu

Naomba msaada kama hili jambo linawezekana nlipatiwa mkopo na nakautumia mwaka wa kwanza na baada ya hapo nmebadilisha kozi na sahiv nipo tena mwaka wa kwanza nataka niombe mkopo ntakapo ingia mwaka wa pili hili lmekaaje wakuu
 
kwa serikali ya tanzania hapo sahau, ukipata tumia, kam ilibatilisha, cdhan ka itapata tena
 
tamaa xx hzo nyie ndo mmesababish mpk washkaj na madem zetu wanyimwe mkopo
hapo labda ukakop saccos
 
kwa serikali ya tanzania hapo sahau, ukipata tumia, kam ilibatilisha, cdhan ka itapata tena

So hata swala la corz nayosoma halina mashiko maana inabidi nipewe mia
 
Back
Top Bottom