Wiki iliopita nilikua nasumbuliwa na mafua nikaenda kupima malaria nikawa nayo basi nikajiongeza nikaenda pharmacy nikanunua dawa metakeflin sijui ndo inaandikwa hivo haya
Baada ya kumeza usiku asubuhi naamka mwili wote unawasha macho yamekua mekundu siku inayofuata ndo hali ya kuungua kwenye ngozi na malenge lenge ikajitokeza nikaenda hosptal tena dokta kuniona na jinsi nilivomsimulia akanambia hyo ni allergy reaction iliotokea kwenye mwili hivo nna allergy na hizo dawa nikachomwa sindano ya kuondoa sumu ya dawa na dawa za kumeza nikapewa kwa ajili ya allergy hyo dozi imeisha lakini ile hali ya kuungua ngoz bado inajitokeza naeza lala nikiamka nakuta tayari madoa meusi kwenye miguu ya kuungua naomben msaada jaman
Baada ya kumeza usiku asubuhi naamka mwili wote unawasha macho yamekua mekundu siku inayofuata ndo hali ya kuungua kwenye ngozi na malenge lenge ikajitokeza nikaenda hosptal tena dokta kuniona na jinsi nilivomsimulia akanambia hyo ni allergy reaction iliotokea kwenye mwili hivo nna allergy na hizo dawa nikachomwa sindano ya kuondoa sumu ya dawa na dawa za kumeza nikapewa kwa ajili ya allergy hyo dozi imeisha lakini ile hali ya kuungua ngoz bado inajitokeza naeza lala nikiamka nakuta tayari madoa meusi kwenye miguu ya kuungua naomben msaada jaman