Msaada Nilotic Languages

Spalulu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2013
Posts
284
Reaction score
146
Habari wana jf! Mimi ni mwanafunzi wa shahada ya uzamili katika lugha, katika chuo kimojawapo nchini. Nafanya utafiti mdogo katika "Maasai Nominal Morphology"( kama hujui hii terminology usihangaike sana) wanaoelewa watanisaidia. Tafadhali mwenye fununu na jambo hili anipe abc, utakuwa umefanikisha na kurahisisha sana kazi yangu. Nategemea wadau wa lugha za Tanzania na wazungumzaji wa lugha hii kuwa msaada mkubwa sana kwangu. Natanguliza shukrani zangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…