Msaada nimeamka asubuhi jicho la kushoto limevimba

Msaada nimeamka asubuhi jicho la kushoto limevimba

kigoda

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2012
Posts
1,781
Reaction score
357
Nimeamka asubuhi jicho limevimba ghafla na muwasho kwa mbali. Msaada jamani kwa mwenye utaalam tafadhali.
 
Sometimes I don't understand you guys. Umeamka unajisikia/unajiona tofauti badala uende Hospitali unakuja JF kupost.
 
Sometimes I don't understand you guys. Umeamka unajisikia/unajiona tofauti badala uende Hospitali unakuja JF kupost.
sio sehem nilipo na hosp ni mbali ndio maana nikaomba huduma ya kwanza.
 
Hiyo itakuwa ni aleji tu.chemsha maji (kiasi cha nusu beseni lako dogo linalotosha kichwa kuzama) weka vijiko kumi vya chakula vya chumvi ichemkie, yaache yawe vuguvugu. Weka kwenye beseni ingiza kichwa kwa staili ya kuogelea huku macho yakitazama maji. Hii ni kwa ajili ya kufanya usafi wa macho na kuondoa allergens.
Nenda duka la dawa waambie wakupe dawa ya aleji, zipo nyingi hazina madhara hata kama hauna aleji.
Likiendelea kuvimba na kuuma nenda muone daktari.
 
Hiyo itakuwa ni aleji tu.chemsha maji (kiasi cha nusu beseni lako dogo linalotosha kichwa kuzama) weka vijiko kumi vya chakula vya chumvi ichemkie, yaache yawe vuguvugu. Weka kwenye beseni ingiza kichwa kwa staili ya kuogelea huku macho yakitazama maji. Hii ni kwa ajili ya kufanya usafi wa macho na kuondoa allergens.
Nenda duka la dawa waambie wakupe dawa ya aleji, zipo nyingi hazina madhara hata kama hauna aleji.
Likiendelea kuvimba na kuuma nenda muone daktari.
Nashukuru sana kwa uungwana wako mkuu nitafanya hivyo.
 
Back
Top Bottom