MSAADA; NIMEAMKA BILA TUMBO

DUME SURUALI

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2016
Posts
782
Reaction score
1,084
This is serious wadau...yaani Leo nimeamka asubuhi najiangalia mwili wangu nagundua tumbo halipo yaani nimebakiwa na kiuno,miguu,na sehemu za juu za mwili!!(amazing!!)
Hii itakuwa ni ugojwa au ni laana? Naombeni ushauri wenu wadau maana Tumbo langu nilikuwa nalipenda Sana yaani sijui nitafanyaje maana nimelimis coz mda huu ningekuwa nimeshalipatia chai na Chapati Kama sita hivi.

Watu wakija kunishangaa leo asubuhi

Ushauri wenu ni muhimu Sana wadau ukizingatia kuna watu walio bobea kila sekta humu ..
 
Tumbo lipo tumboni ahangalie vizuri ataliona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…