ween
JF-Expert Member
- Jul 20, 2016
- 414
- 129
Natumai kuwa mwaendelea vyema kabisa. Ndg zangu wataalam na madactari wote humu ndani.... Lengo la kuleta uzi huu kwenu nikwamba nina hitaji ushauri ambao utakuwa msaada juu yahili
Juzi nilinunua dawa za malaria (malafin) nikatumia pamoja na panadol, baada ya kumeza dawa hizo nikaanza kuwashwasehemu zavidole vya miguu mpaka ukanyagio, nijikuna sana na hatimae leo sik ya 3 nimetokewa na kama malengelenge ya kuungua na moto ktk sehem zote zilizokuwa zinawasha,
Kwakweli bado nawashwa sana ukizingatia na hayo malengelenge tena najikuna kwa shida Naomba kujua hii inasababishwa na nini ? Pia nifanye nn ili niwe ok
Nisaidie mwenzenu napata TABU SANA
Juzi nilinunua dawa za malaria (malafin) nikatumia pamoja na panadol, baada ya kumeza dawa hizo nikaanza kuwashwasehemu zavidole vya miguu mpaka ukanyagio, nijikuna sana na hatimae leo sik ya 3 nimetokewa na kama malengelenge ya kuungua na moto ktk sehem zote zilizokuwa zinawasha,
Kwakweli bado nawashwa sana ukizingatia na hayo malengelenge tena najikuna kwa shida Naomba kujua hii inasababishwa na nini ? Pia nifanye nn ili niwe ok
Nisaidie mwenzenu napata TABU SANA