[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] aiseePicha haifunguki kwangu wadau, nisaidieni
Asante my dear, nina alovera ntapaka hiyo.Usipake chochote kwan unaweza kuongeza tatizo.... wewe acha vitaisha vyenyewe ila kama huna amani paka alovera gel yaan chuna jani la alovera uwe unapaka asubuh mchana na jioni pia unaweza kupaka maji ya muarobain yaan unachukua majani ya muarobain unayaponda unaweka maji kidogo sana kisha unapaka kwenye tatizo... siku kadhaa tu utakua poa na hayo mafuta usiyarudie tena.
Nakunong'oneza,
(Hilo ni paja au kiuno?? lol)
Oooh huo mkono nimeupenda sana aisee! [emoji39] [emoji39] [emoji39] [emoji39]Nashukuru sana, mkono huo uko juu ya paja..loh
Ila una mkuu muzuri sanaNaomba msaada, mimi sio mtumiaji wa bipodozi vikali lakini yamenikuta haya baada ya kushare lotion ya ndugu yangu tukiwa safari. Bahati mbaya nilisahau kupack mafuta wakati nasafiri sasa kwakuwa hatukukaa siku nyingi nikasema sio vibaya nikitumia mafuta yake siku tatu, ngozi yangu imeharibika imetoa vidot vyeupe vidogo vidogo hata sijui nafanyaje kuviondoa. Mwenyewe mtumiaji yuko vizuri tu.msaada naomba kama kuna dawa itakayonisaidia kuondoa..
Mstari wa mwisho huo .... umejaa UCHOKOZI CHOKOZI hahahaUsipake chochote kwan unaweza kuongeza tatizo.... wewe acha vitaisha vyenyewe ila kama huna amani paka alovera gel yaan chuna jani la alovera uwe unapaka asubuh mchana na jioni pia unaweza kupaka maji ya muarobain yaan unachukua majani ya muarobain unayaponda unaweka maji kidogo sana kisha unapaka kwenye tatizo... siku kadhaa tu utakua poa na hayo mafuta usiyarudie tena.
Nakunong'oneza,
(Hilo ni paja au kiuno?? lol)
Hahahahaha lazima niulize maana hehehe.Mstari wa mwisho huo .... umejaa UCHOKOZI CHOKOZI hahaha