Nawasalimia wakuu wa jf..Mimi nikijana ambaye nimehitimu mwaka huu kwenye chuo fulani hapa tanzania, kunasehemu nilipata nafasi ya kufanya kazi ila nilipewa muda wa miezi mitatu ya majaribio, baada ya hapo ningepewa mkataba.
Muda wa miezi mitatu umeshafika na mwajiri wangu haoneshi uelekeo wa kutoa mkataba na ukiangalia pesa yenyewe napewa kidogo. Ni kampuni moja ya wahindi ipo dodoma. Hivyo nataka kujua kwa hali kama hiyo napaswa kufanyaje?