Msaada: Nimefuta Xender na Miziki yangu pia imefutika

Reptilia

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2018
Posts
867
Reaction score
847
Wakuu kama ilivo ainishwa hapo juu,

MSAADA ninao hitaji nikwamba Jana KWENYE harakati za kwny 1 na 2 nmejikuta nimelifuta file la Xender kwenye simu yangu lakini Cha kushangaza sasa zile MIZIKI nilizokuwa nmezihamishia kwenye hii cm KUPITIA hii Xender kuja kwenye simu yangu nilioifuta ki bahat mbaya nazo zmefutika ghafla zote.

Je imaana kuwa HIZO MIZIKI zilikuwa hazijatoka kwenye Hilo la Xender kuingia kwenye simu au?

Nakama zmefutika jumla ninaweza kurejesha Tena?
 
Unatumia simu gani mkuu

Kwenye iphone ukiingia kwenye file tafuta folder la Xender utazikuta hata kama ume uninstall app

Sina hakika kwenye Android inakuaje
Lakini sidhani kama uki uninstall app kama inafuta na folder zake zote.
Jaribu kupekua folder la Xender kwenye file
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…