Msaada, nimeingia Ajira Portal inaniambia number ya NIDA ilishatumika

Msaada, nimeingia Ajira Portal inaniambia number ya NIDA ilishatumika

wakunyonya

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2024
Posts
520
Reaction score
1,414
Habar Wana JamiiForums nimejaribu kuingia ajira portal ili nianze kujisajiri upya ila nakumbuka zaman Sana nilishawahi kuingia hivo sikumbuki email Wala password niliyotumia kipindi hicho imeniambia nambari ya NIDA ilishatumika hapa nitafanyaje wakuu ili kujinasua katika huu mtihani.

Soma Pia: Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira
Piga huduma kwa wateja,watai_reset,then utaweka password mpya utaingia kwa email ile ile
 
WA email wape NIN yako wao watakutumia email hiliyosajiria na paswed yake
Msaada pia kiongozi Mimi pia Nina changamoto hiyo ila ni hivi nilifunguaga account ajira portal wakat nipo chuo around 2019 kupitia Gmail yangu ya mwanzo na hiyo account ya ajiraportal siku upload chochote zaidi ya kuweka tu namba ya Nida Kwa sababu nilikua bado nipo chuo sijamaliza hivyo sina vyeti ,Sasa nikamaliza ila ile account yangu ya Gmail ambayo nilitumia kufungua account ajiraportal Google waliifunga walisema nimeviolate privacy policy zao Kwa sababu Kuna siku nilikua naupload files kutoka kwenye simu kwenda kweny Google drive vitu vilikua vingi nahisi vingine ndo vilipelekea hiyo Google account ifungwe changamoto yangu nilifungua Gmail nyingine na kutaka kufungua account nyingine ajiraportal ila pale kwenye NIN inasema tayar imeshatumika hivyo naomba nisaidie nifanyeje maana niliwapigiaga ajiraportal huduma Kwa wateja wakaniambia niandike barua niwatumie kwenye email yao Ili waifute ile account niweze kufungua nyingine nikafanya hivyo Hadi leo naona kmya najaribu kuwapigia simu siku hiz naona hawapokei na Mimi nipo Mwanza Kwa Sasa Hadi nawaza kama wanaoffice na huku mikoani Ili niende direct kuona inakuaje ,msaada ata wa mawazo mkuu
 

Attachments

  • Screenshot_20240815-114552.jpg
    Screenshot_20240815-114552.jpg
    12.5 KB · Views: 28
Msaada pia kiongozi Mimi pia Nina changamoto hiyo ila ni hivi nilifunguaga account ajira portal wakat nipo chuo around 2019 kupitia Gmail yangu ya mwanzo na hiyo account ya ajiraportal siku upload chochote zaidi ya kuweka tu namba ya Nida Kwa sababu nilikua bado nipo chuo sijamaliza hivyo sina vyeti ,Sasa nikamaliza ila ile account yangu ya Gmail ambayo nilitumia kufungua account ajiraportal Google waliifunga walisema nimeviolate privacy policy zao Kwa sababu Kuna siku nilikua naupload files kutoka kwenye simu kwenda kweny Google drive vitu vilikua vingi nahisi vingine ndo vilipelekea hiyo Google account ifungwe changamoto yangu nilifungua Gmail nyingine na kutaka kufungua account nyingine ajiraportal ila pale kwenye NIN inasema tayar imeshatumika hivyo naomba nisaidie nifanyeje maana niliwapigiaga ajiraportal huduma Kwa wateja wakaniambia niandike barua niwatumie kwenye email yao Ili waifute ile account niweze kufungua nyingine nikafanya hivyo Hadi leo naona kmya najaribu kuwapigia simu siku hiz naona hawapokei na Mimi nipo Mwanza Kwa Sasa Hadi nawaza kama wanaoffice na huku mikoani Ili niende direct kuona inakuaje ,msaada ata wa mawazo mkuu
Nimekujibu
 
suruhisho ni dogo sana ingia Ajira Portal chukua ile email ya
Habar Wana JamiiForums nimejaribu kuingia ajira portal ili nianze kujisajiri upya ila nakumbuka zaman Sana nilishawahi kuingia hivo sikumbuki email Wala password niliyotumia kipindi hicho imeniambia nambari ya NIDA ilishatumika hapa nitafanyaje wakuu ili kujinasua katika huu mtihani.

Soma Pia: Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira

Habar Wana JamiiForums nimejaribu kuingia ajira portal ili nianze kujisajiri upya ila nakumbuka zaman Sana nilishawahi kuingia hivo sikumbuki email Wala password niliyotumia kipindi hicho imeniambia nambari ya NIDA ilishatumika hapa nitafanyaje wakuu ili kujinasua katika huu mtihani.

Soma Pia: Ajira Portal inahitaji mabadiliko, inakatisha ndoto za vijana wengi kwenye kuomba ajira
Very simple solution fanya ivi
ict@ajira.go.tz
Wape detail zako za email uliotumia then wao wenyew watakutumia Password but huwa niminamba yaajabu kwhy utabadilisha mwenyew ukiingia kwny account yako
 
Back
Top Bottom