Jamani naomba msaada nimeingia na mdudu (mbu) kwenye sikio,, msaada wana jf plz.. Nimejaribu kuweka maji then kuinamisha kichwa for couple of minutes bt no hope.. Nimejaribu kwa cotton buds.. No hope.. Mdaada wajameni.. Sitalala leo
Jamani naomba msaada nimeingia na mdudu (mbu) kwenye sikio,, msaada wana jf plz.. Nimejaribu kuweka maji then kuinamisha kichwa for couple of minutes bt no hope.. Nimejaribu kwa cotton buds.. No hope.. Mdaada wajameni.. Sitalala leo