Msaada: Nimeishiwa nguvu za kiume ghafla!

Mkuu izo dk5 hats kabla yakupata shida hiyo ulikua unafanya kwa dk5
Mkuu yaani huwezi kuamini, goli zangu zote hazizidi dk 5, hasa goli la kwanza nafunga chini ya dk 5. Na goli la pili pia halizidi dk 5. Nikitaka niende walau dk 6 au 7 labda nisimpunzike sana baada ya kupiga la kwanza; na mara nyingi nikifanya hivi huwa sifungi goli....linakuwa linachungulia na kurudi....hadi naamua kukata tamaa na kushuka kutoka kifuani baada ya kushindwa kupiga goli.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Tumia huu mchanganyiko asubuhi na jioni kila siku na iwe ndo life style yako.

Tangawizi+Kitunguu swaumu+mbegu za maboga+habat souda+Asali

Koroga hivi vyote kwa pamoja kwenye glasi ya maji ya uvugu vugu na unywe mara mbili kwa siku

Kipimo ni kijiko kimoja moja kwa kila kitu hapo juu, bahati nzuri hizo bidhaa zote zinapatikana unga wake (tangawizi, kitunguu saumu, habat souda na mbegu za maboga) so itakua rahisi kuchanganya.

Pia usisahau, kunywa maji lita 3 kwa siku.. ingependeza lita moja asubuhi, ingine mchana na jioni unamalizia lita ingine

Mazoezi ya squart pamoja na Kegel ni muhimu sana.

Rudi kutupa mrejesho hapa, utapiga mzigo bila wasi wasi wowote hata ukiwa na miaka 60
 
Kwanini usifanye use unajizuia kumwaga ili walau uende hats goli 1 kwadakika15 ili umfikishe mwezio hata Mara mbili..kisha we ndo ukojoe hill moja tu kulikoni matano ya kila baada ya dk5 then upumzike urudi tena hali yakua mwenzio ukeni anashawa zako anakua hainjoy vizur kumfanya achelewe kukojoa we ukiwa Tatar huwez tena kuendelea uume umelala mwenzio ndo yuko hot
 
Ukipiga goli dk5 unakaa dakika ngap kurud uume usimame upige lapili au ukikojoa lakwanza dk5 unaunganisha hapo hapo
 
Dah...Mkuu unazeeka sasa... cheza kiwango chako au ufe kwa mshtuko wa moyo...uchaguzi ni wako..😎
 
Ukipiga goli dk5 unakaa dakika ngap kurud uume usimame upige lapili au ukikojoa lakwanza dk5 unaunganisha hapo hapo
 
Dah

Unaweza kusema ni muvi fulani hivi!!!

Eti show ya kibabe,anatema mara 6 au zaidi!!!!!

Buhahahahahah

Bro,Punguza mbwembwe,
mbwembwe huwa zinasababisha ajali zisizo za muhimu katika maisha ya mwanaume
Kwanza,Rudi kwa Mola wako,na tubia dhambi zako
kisha wacha kufikiria uchafu huo wako tena
Juta
na azimia kutorudia tena
 
Ukipiga goli dk5 unakaa dakika ngap kurud uume usimame upige lapili au ukikojoa lakwanza dk5 unaunganisha hapo hapo
Mkuu nikifunga goli la kwanza napumzika muda wa dakika 30 kisha natikisa mashine na kuanza raundi ya pili. Ila nikitaka goli la pili nichukue dk 6 mpaka 7 labda nikipiga goli kwanza nipumzike dk 10 kisha nianze kupiga show. Yaani mm nikikutana na mwanamke aliyezoea kupiga a show kwa dakika 30 ataniacha. Jamani mnisaidieni mwenzenu.

Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
 
Ukipata suluhisho tuambizane nami ninashida kama yako
 
Kwani waifu wako anapenda mechi ya dakika ngap mkuu
 
Kama unaishi Dar, naomba nisiongeze neno zaidi ya kukupa pole sana....[emoji20] [emoji20]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…