malembeka18
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,266
- 3,698
Kwani dar kuna ninKama unaishi Dar, naomba nisiongeze neno zaidi ya kukupa pole sana....[emoji20] [emoji20]
Waifu anaendana na mapigo yangu lakini nadhani atakuwa haridhishwi na utendaji kazi wangu, nahisi nitakuwa nachepukiwa.Kwani waifu wako anapenda mechi ya dakika ngap mkuu
Tuko pamoja mkuu, usiwe na shaka.Ukipata suluhisho tuambizane nami ninashida kama yako
Kwani uhisi unachepukiwa kwani kuna dalili unaziona zakuchepukiwa na upon nae wife kwa mda gani sasa....kwani hizo dk chache huwa humfikishi kilele na wife wako ana umri gani...Waifu anaendana na mapigo yangu lakini nadhani atakuwa haridhishwi na utendaji kazi wangu, nahisi nitakuwa nachepukiwa.
Sent from my SM-J110H using JamiiForums mobile app
Nipo katika kutoa msaada kwa mwanajamii mwenzetu.mrembo mbona unafanya uchochezi....
Kwanza tambua kumchubua mtu sio ujuzi kwa game ni match rough tu. Vipi umeishiwa na hela? Maana hiki ni chanzo pia!
Watoto unazalisha wapi na wapi?
Uza skrepa mkuu.Mkuu, huwa inatokea kwa bahati mbaya, hasa ikiwa nitacheza mechi kwa muda mrefu bila kufunga goli. Si unajua tena mashine yangu ishakuwa butu!
Asante kwa taarifa hii muhimu mkuu. Stem cell inauzwa kwenye maduka ya dawa au ntaipataje Chief?daaah ndugu tpaul
Kwa kweli miaka 36 kuwa na tatizo kama lako ni majanga, mimi lilinitokea angalau kuanzia 45.
Turudi kwenye tatizo lako specifically kama wengi walivyosema una tatizo la hormone kuzalishwa kiasi cha kutosha, lakini ningependa niongeze pia tatizo jingine ni mwili kwa ujumla kutokuwa katika hali ya kawaida. kwa mfano una tatizo la kupanda na kushuka kwa pressure, sukari na kufa kwa seli zako za uhai zinakufa kwa kasi mno kuliko zinazozalishwa. Kwa hiyo, ili tatizo lako liishe na uwe fiti pamoja na mazoezi na vyakula, nakushauri utumie Stem Cell itakusaidia sana sana.
Tulia mdogo wangu wala usiwe na msongo wa mawazo tatizo lako litaisha tu na kuwa historia kabisa katika maisha yako.
Nawasilisha.
Mkuu kuchubua huwa inatokea bahati mbaya tu hasa ninapoanza mechi kipindi, kupata bao inakuwa shida sana na mashine hulala hata ikiwa ingali ndani ya papuchi. Hela ninazo kwa kiasi cha mboga. Watoto nazalisha kwa waifu na kwa mchepuko.Kwanza tambua kumchubua mtu sio ujuzi kwa game ni match rough tu. Vipi umeishiwa na hela? Maana hiki ni chanzo pia!
Watoto unazalisha wapi na wapi?
Asante kwa tiba hii mujarabu mkuu, nitaifanyia kazi kisha nitakuja hapa kutoa mrejesho ili wadau wengine wenye tatizo kama langu wanufaike.Tumia huu mchanganyiko asubuhi na jioni kila siku na iwe ndo life style yako.
Tangawizi+Kitunguu swaumu+mbegu za maboga+habat souda+Asali
Koroga hivi vyote kwa pamoja kwenye glasi ya maji ya uvugu vugu na unywe mara mbili kwa siku
Kipimo ni kijiko kimoja moja kwa kila kitu hapo juu, bahati nzuri hizo bidhaa zote zinapatikana unga wake (tangawizi, kitunguu saumu, habat souda na mbegu za maboga) so itakua rahisi kuchanganya.
Pia usisahau, kunywa maji lita 3 kwa siku.. ingependeza lita moja asubuhi, ingine mchana na jioni unamalizia lita ingine
Mazoezi ya squart pamoja na Kegel ni muhimu sana.
Rudi kutupa mrejesho hapa, utapiga mzigo bila wasi wasi wowote hata ukiwa na miaka 60
Napenda sana kuzuia lakini goli likishafika kichwani kila nikijaribu kulizuia nashindwa mkuu.Kwanini usifanye use unajizuia kumwaga ili walau uende hats goli 1 kwadakika15 ili umfikishe mwezio hata Mara mbili..kisha we ndo ukojoe hill moja tu kulikoni matano ya kila baada ya dk5 then upumzike urudi tena hali yakua mwenzio ukeni anashawa zako anakua hainjoy vizur kumfanya achelewe kukojoa we ukiwa Tatar huwez tena kuendelea uume umelala mwenzio ndo yuko hot
Nikipiga bao la kwanza nakaa nusu saa ndipo walau mashine inasimama ijapokuwa kwa wasiwasi; mpaka niitikise au niingize kwenye "chakula" chake ndipo isimame vizuri.Ukipiga goli dk5 unakaa dakika ngap kurud uume usimame upige lapili au ukikojoa lakwanza dk5 unaunganisha hapo hapo
Hiyo miezi michache iliyopita ulikua unaweza kufanya kwa dk nganNimeoa mkuu, sijui labda ni michepuko wangu ndio wameniroga maana miezi michache iliyopita nilikuwa fit kinyama lakini ghafla mambo yamekuwa tofauti.
Na hiyo miezi michache nyuma ulikua vivo kupiga cha pill mpaka uuingize ktk uke ndo isimameNikipiga bao la kwanza nakaa nusu saa ndipo walau mashine inasimama ijapokuwa kwa wasiwasi; mpaka niitikise au niingize kwenye "chakula" chake ndipo isimame vizuri.
Ukitoa mrejesho unipe namim mkuu nashida kama yako ili niweze kutumiaAsante kwa tiba hii mujarabu mkuu, nitaifanyia kazi kisha nitakuja hapa kutoa mrejesho ili wadau wengine wenye tatizo kama langu wanufaike.
Nilikuwa nafanya kwa wastani wa dakika 5 kwa kila bao ila nilikuwa naweza kupiga bao nyingi (5 -7 per night) na mashine ilikuwa imara tofauti na sasa ambapo nikipiga goli moja mashine inaweza kulala dolo hata kwa zaidi ya nusu saa na pengine hata nisipate ashki tena ya kupiga paper II hadi kesho.Hiyo miezi michache iliyopita ulikua unaweza kufanya kwa dk ngan
Tujaribu hiyo dawa ameosema mkuu..maana hapa nilipo nipo na mzee mmoja apa anaelezea hayo hayo kuwa kitunguu swaumu na asali nitiba toshaNilikuwa nafanya kwa wastani wa dakika 5 kwa kila bao ila nilikuwa naweza kupiga bao nyingi (5 -7 per night) na mashine ilikuwa imara tofauti na sasa ambapo nikipiga goli moja mashine inaweza kulala dolo hata kwa zaidi ya nusu saa na pengine hata nisipate ashki tena ya kupiga paper II hadi kesho.