Mkuu, kwanza tuanzie hapa... ule mpango wa kuondoka kwa boss wako na kwenda kupanga... upumzishe kwa mda... maana ukienda kupanga... utapanda mnaz kwa mkono mmoja had ukojoe damu... maana ile hali ya upweke, sio rafiki sana kwa kijana aliyezoea nyeto...
Sasa anza kupambana kuacha nyeto, nyeto haiachwi kwa kulamba mchanga na kutoa viapo kibao kuwa hurudii... chakufanya... epuka sana kukaa pekeyako... jitahd uwe bize bize... na ikitokea umeshindwa kabisa, nenda kapige nyeto... na husipge goli moja... piga kuanzia magoli 3 na kuendelea... ndan ya mwez utakuja kunihadithia...