Msaada: Nimejiandikisha NIDA miezi 2 iliyopita mpaka sasa hakuna kitu. Nawezaje angalau kupata hata namba tu?

mkiwa hamna shida Wala hamhangaiki matangazo ya serikali ......tuma takrima nikuwezeshe
 
fika ofisi ya NIDA yoyote iliyo karibu na ww watakusaidia hawana baya
 
Kuna kilo mbili kwa mwenye ataweza kutatua changamoto yangu ya tariff kuingiliana...huu sasa ni mwaka sa 6 Holaaaa...nmeshatumia gharama sanaa
 
Namba tu? Hiyo mwombe rafiki yake!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…