Habari zenu? Naombeni msaada jana nimechukua jani la mwalovera nimekatakata nimeloweka masaa 2 nikanywa nusu glass baada ya hapo usiku nimeumwa sana tumbo na kuharisha sasa sijui tatizo ni nini, naombeni ushauri niendelee kunywa au niache maana sielewi ndo inafanya kazi au ina madhara