Msaada: Nimekuwa addicted na porno za wanyama

bishororo

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2017
Posts
254
Reaction score
358
Habari wana jf.
Rejea kichwa cha habari kwa takriban miaka 10 nmekuwa mfuasi mkubwa wa kuangalia porno na nadhani zmeniathiri kisaikolojia siwez kulala bila kupita kwenye site za hizo vitu

Lakini Sasa hivi kuangalia porno za binadamu hazinipi mzuka kabisa mpka niangalie za binadamu na wanyama au wanyama wenyewe ndo napata hisia za kupiga punyeto(mgarara)...,
Sasa nisaidieni hii hali naichukia sana
 
Mhh poleh mkuu mi ninachoamini nikukubali umesha athirika na huipendi hiyo hali na unataka kubadalika then achana na hizo kuangalia porn naamini utaweza mkuu jitahidi ijenge akili yako mbali na porn unaweza don't stay up late at night naamini kwa ueelewa wangu mdogo utakusaidia
 
Inaweza kuwa ni majini (jini mahaba).
 
Umewahi kufanya ngono na wanyama?
 
Una demu?
 
Ur heading somewhere ukifika utatujulisha! Inaweza ikawa na binadam au mnyama unayemwangalia!
 
Kama hujawahi huko ndiko unapoelekea ubinadamu unakutoka unakuja unyama.kwakifupi unaenda kudata maana ukiwa naakili za kinyama mfano ng'ombe sidhan kama upo sawa.achakuangalia uone kama utakufa
Najaribu nashindwaa
 
Naona hakuna mtu aliekupa jibu serious..

Ila kama kweli una nia ya kuacha hicho kitu unachofanya na sio unatunga tu story, basi fanya hivi..

Inaonekana kuacha ghafla imekushinda, basi punguza frequency ya kuangalia hayo mambo. Kama ulikuwa unaangalia kila siku, basi fanya uwe unaangalia kila baada ya siku mbili, then unapunguza unakuwa unaangalia mara mbili au tatu kwa wiki, halafu tena unapunguza frequency unakuwa unaangalia mara moja kwa wiki, mwishowe utashangaa umeacha.

Nasema hivyo kwasababu hiyo ni tabia uliyojijengea kwa miaka mingi, so kuacha ghafla itakushinda utashangaa umerudi kule kule.

Kwa hiyo ukiwa na nia kweli na discipline, jaribu nilichokwambia. Soon tatizo lako litaisha, just know itachukua muda kidogo.
 
Asante kaka kwa ushaur wako nakuahid ntafanyia kaz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…