Msaada nimekuwa msahaulifu sana

Msaada nimekuwa msahaulifu sana

vantz

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2016
Posts
1,107
Reaction score
570
Naombeni ushauri au hata dawa kama zipo nimekuwa MSAHAULIFU sana naweza kusoma jambo mfano Kuwe na jina la mtu au kitu baada ya muda nasahau lile jina ila stori naikumbuka
 
Tumia mafuta ya samaki aina ya Salmon pamoja na mmea wa ginko biloba. Ukihitahi nitafute Pm.
 
Pole sana kama unajichua acha pia husababisha mtu kuwa msahaulifu.
duh mbona wengine tumepiga sana punyeto na paper tumetusua div 1 kali na chuo tumetoboa gpa za maana.

Hapana acheni kusingizia punyeto huyo atakuwa na matatzo ya ubungo wake.
 
1. kuna aina ya vyakula husaidia kuboost memory.

2. acha punyeto. huleta matatzo zaid ya hayo
 
Naombeni ushauri au hata dawa kama zipo nimekuwa MSAHAULIFU sana naweza kusoma jambo mfano Kuwe na jina la mtu au kitu baada ya muda nasahau lile jina ila stori naikumbuka
tafuta mmea uitwao ROSEMERRY au MAFUTA ROSE MERRY ukipata mafuta pakaa maeneo ya pembeni mwa.uso kabla ya nywele
na ukipata mmea tumia.majani yake pikia chai au mboga nk
 
tafuta mmea uitwao ROSEMERRY au MAFUTA ROSE MERRY ukipata mafuta pakaa maeneo ya pembeni mwa.uso kabla ya nywele
na ukipata mmea tumia.majani yake pikia chai au mboga nk
Asanteni sana mkuu
 
1.Kula tundizi sukari tule tudogo not in excess but always for potassium minerals...
2. Have a fish once per week
3.exercises
4. Periodic Rest time
5. Have control of ur stress
 
1.Kula tundizi sukari tule tudogo not in excess but always for potassium minerals...
2. Have a fish once per week
3.exercises
4. Periodic Rest time
5. Have control of ur stress
Kumbe hizo Ndizi ni kweli? Asante mkuu
 
Back
Top Bottom