Msaada: Nimemeza funza

Japo kuna mtu namfahamu aliwahi kutolewa funza kwenye mbavu ila naona zilikuwa ni laana zake;
Ninachokiamini ni kuwa joto la mwilini na joto la kwenye hilo tunda haviwezi kuendana;
itabidi funza wafe wakifika tumboni;
 
Japo kuna mtu namfahamu aliwahi kutolewa funza kwenye mbavu ila naona zilikuwa ni laana zake;
Ninachokiamini ni kuwa joto la mwilini na joto la kwenye hilo tunda haviwezi kuendana;
itabidi funza wafe wakifika tumboni;

Ni possible kufa kwa sababu ya hali hizo kuwa tofauti, lakini kuna wadudu na hata wanyama wenye uwezo wa ku adapt mazingira waliopo. sasa isije kuwa funza nao wakafika huko tumboni ingawa joto la mwili ni kali with reference na tunda wakamenage ku adapt human temperature na mwisho wa siku wakaweza kuishi. Ni mtizamo wa kawaida tu
 
Duh the way unavyo insist jamaa kula kwa ajili ya afya yake utazani mko pamoja vile, hahaaaaaa, jamaa funza kwenye tunda wamemtoa roho jujuuu, then unamwambia ale wengine tena, majanga.

Ahaaahaa.... ana kaziaa haswa mwisho wake ataniambia nikamate na mende wana nutrients za protein
 

Duuuh... sasa wewe kwa hizo ideology zako ndio unazidi kuniweka roho juu juu

wanaweza kuadapt tenaaa..!!
 
Duuuh... sasa wewe kwa hizo ideology zako ndio unazidi kuniweka roho juu juu

wanaweza kuadapt tenaaa..!!

Ndio maana nilisema ni mtizamo tu wa kawaida maana kuna baadhi ya wadadu kweil wanaweza kuishi mazingira tofauti tofauti. Usihofu mkuu, kitu kikiingia tumboni huwa kinashughulikiwa ipasavyo ili kupata virutubisho vya mwili na kama kuna sumu pia nayo huchujwa na kutolewa nje. Mungu ni wa ajabu sana na kila aina ya mtambo wa kushughulikia vitu vinavyoingia. Na pia ni kweli usiopingika kuwa sisi binadamu huwa tunakula wadudu wengi sana aidha kwa hiari yetu wenyewe ama kwa lazima. Mfano tu mdudu nzi, watu wengi sana tulishamla pasipo sisi wenyewe kutaka, mfano kwenye vyakula na mara nyingi anaweza akakuingia kupitia sehemu za wazi kama kinywa, pua nk, na bado tupo salama.

Tulipokuwa sekondari zamani wadudu kwenye maharage, funza kwenye unga nk, tumekula sana na bado tupo salama tunaishi, Mungu ni mwema na wala huna haja ya kuogopa kwa assumption ndogo kama hiyo ambayo sio justifiable.
 
Amina mkurugenzi MUNGU ni mwema.

hata sikuwa na hofu saana na jambo hilooo.... kikubwaa nilitaka nifahamu zaidii kma kuna effects zitakuwaje. Lakin hadi sasa majibu ninayo
 
Bonge la menu! Protein saaaafi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…