habari wana jf nimemuweke mpangaji mwenzangu dhamana kwa kosa la shambulio je kwa kosa kama hili kama akikimbia nini kitatokea kwangu na solution nini je mlalamikaji asipotokea mahakamani itakuaje
Akikumbia unakuja kufuatwa wewe hapo na kama kukamatwa utakamatwa wewe hapo yani inshort whatever happens to huyo jamaa they come for you maaana effect ya ulichokifanya ni kwamba u guarantee the appearance of the bailee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.