msaada nimemuwekea mtu dhamana

msaada nimemuwekea mtu dhamana

appoh

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2013
Posts
5,262
Reaction score
2,184
habari wana jf nimemuweke mpangaji mwenzangu dhamana kwa kosa la shambulio je kwa kosa kama hili kama akikimbia nini kitatokea kwangu na solution nini je mlalamikaji asipotokea mahakamani itakuaje
 
Akikumbia unakuja kufuatwa wewe hapo na kama kukamatwa utakamatwa wewe hapo yani inshort whatever happens to huyo jamaa they come for you maaana effect ya ulichokifanya ni kwamba u guarantee the appearance of the bailee
 
Back
Top Bottom