Msaada: Nimepata hasara kwenye biashara

Umeongea point kaka
 
biashara yeyote inabidi wew ufatilie watu wanavutiwa na Huduma ipi pengine ulikuwa unachukua nguo ambazo wateja walikuwa hawavutiwi ila sababu wew ulizipenda hizo nguo na ukaamini watu watanunua kubadilisha biashara nayo sio kazi ndogo kikubwa nikuomba watu wakushike mkono kufanya biashara hiyo unaweza ukaenda mwenyewe vijijini na pesa ikazidi kupungua sababu kila kijiji madalali hawakwepeki
 
Nyinyi hamjaelewa dhumuni la mleta mada.

Hiyo biashara ya K/Koo ni changa la macho tu,alikuwa hataki uzi wake uunganishwe na uzi mwingine ndo maana katumia ujanja huo

Lengo lilikuwa ,ana mtaji wa hicho kiasi alichokitaja ,je afanye biashara ipi?
 
Hasara kwa mfanyabiashara ni kitu cha kawaida,ndio maana sisi wajasiriamali huwa tuna msemo kuwa "Usihifadhi mayai yote kwenye chombo kimoja"
Kama biashara ya nguo imeyumba basi fanya ya vyakula.
 
Sure,
 
sasa kila mtu akiuza chakula nani atakula?....wewe komaa tu na hizo nguo zako tafuta masoko sehemu tofauti tofauti usiiishie moro tu
 
Do your homework.
 

Attachments

  • Screenshot_2017-08-03-18-54-19-1.png
    318.2 KB · Views: 27
Badilisha ilo jina la sizonje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa halia ya sasa ya uchumi nadhani ni bora ungewekeza kwenye biashara ya vyakula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…