Msaada: Nimepata madhara ya jua kupatwa

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Nilikuwa natazama juu kipindi mwanga unapotea. Sasa naona macho yangu yameharibika hata mishipa ya juu imevimba.. Msaada nini nifanya cha Haruka. Naogopa kupofiukA
 
Huwa haipaswi kuangalia hili tukio bila ya kutumia miwani maalumu,sijui kama onyo hili lilitolewa mapema ila ukweli ni kuwa watu huwa wanapata matatizo ya macho ingawa sijajua kwa kiwango gani.Ngoja tusubiri kama kuna anayefahamu atatoa msaada wa tatizo lako.
 
Umbea umekuponza
Dada nifah. Kwangu hili tukio lilikuwa linatengeneza history labda sitaona Tena lingine.. Hata hivo mwishoni nimegundua hakuna la ajabu kubwa Sana. Sio umbea lakini
 
Dada nifah. Kwangu hili tukio lilikuwa linatengeneza history labda sitaona Tena lingine.. Hata hivo mwishoni nimegundua hakuna la ajabu kubwa Sana. Sio umbea lakini
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] basi poleeee
 
Nilikuwa natazama juu kipindi mwanga unapotea. Sasa naona macho yangu yameharibika hata mishipa ya juu imevimba.. Msaada nini nifanya cha Haruka. Naogopa kupofiukA
Mbona umeandika vizuri mkuu... Tena pasipo kukosea maneno na herufi...ety macho yang yameharbka.. Khaaaaa Acha madhara ya mwendokasi mkuu.
 
Mimi nasinakumbuka nikiwa mtoto mwaka 1979 kupatwa kwa jua ilitokea na Kilimanjaro giza likaingia gafla kuku zikaanza kukimbilia ndani, na sijawahi kuona tena. Kwa siku ya leo kuna mkoa au eneo kumekuwa giza au nini kimetokea haswa.
 
Aisee muko wengi sana Kuna dogo naye kitaa cha home kaamuka leo asubuhi macho yako kahisi mwanga unaotoka utoshi kuangalia
 
Nilikuwa natazama juu kipindi mwanga unapotea. Sasa naona macho yangu yameharibika hata mishipa ya juu imevimba.. Msaada nini nifanya cha Haruka. Naogopa kupofiukA
Ultraviolet rays si mchezo na ungeendelea kuangalia ungepoteza uwezo wako wakuona
 
ozone layer haina uwezo wakuzuia ultraviolet rays that's why ikatangazwa kuwa hamtakiwi kuangalia jua wakati jua limepatwa but kama hukusikia tangazo sawa lkn kama ulisikia ukataka tu kuthibitisha kuwa we ni mbongo!! right!!
 
Shida waafrika wagumu sana kufuata maelekezo....
 
Pole sana mkuu, kwa msaada wa haraka ungeweka picha ya uvimbe uko sehem gani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…