Msaada; Nimepata uvimbe mguu wa kulia juu ya paja!!

Msaada; Nimepata uvimbe mguu wa kulia juu ya paja!!

Lavit

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2011
Posts
14,834
Reaction score
32,522
Jana yalianza maumivu ambayo naona leo yamepungua, ila nashangaa kuona uvimbe!!

Sijajua exctly kipi kimesababisha...ila juzi niliendesha gari kwenye rough road karibia 8km...kabla ya hapo nimeenda safari zenye barabara nzuri!!

Naomba kujua kama inawezekana huu uvimbe ni infections au ni mtikisiko tu wa gari!!

Naomba pia kujua dawa itakayonisaidia!!
 
Kwa kiingereza wanaita Lymphatic system. Hapo palipovimba pana lymph node. Huo ni mfumo wa kuking mwili na magonjwa. Ukiona pamevimba ujue mwili ulikuwa unapambana na infection fulani. Paache patapona penyewe...
 
Back
Top Bottom