Msaada:Nimepigisha shoti kwenye gari vitz

Msaada:Nimepigisha shoti kwenye gari vitz

DOKEZO

JF-Expert Member
Joined
Jan 17, 2014
Posts
322
Reaction score
496
Habari wakuu!
Nilikuwa nabust gari ndogo ingine IST, sasa baada ya hiyo gari kuwaka wakati nachomoa zile nyaya kwenye upande mmoja,bahati mbaya nikazigusanisha nyaya huku kwenye ile gari ya Vitz zikiwa bado zipo kwenye betri. Gari nyaya zikatoa cheche na ikazima hapo hapo.Tukajaribu kuiwasha haikuwaka kwa muda ule. Sasa tulikuwa na haraka ya kuondoka nikasema nitaishughulikia kesho.

Je kuna tatizo litakuwa ni betri nimeliua au starter nishaiunguza?
 
Habari wakuu!
Nilikuwa nabust gari ndogo ingine IST, sasa baada ya hiyo gari kuwaka wakati nachomoa zile nyaya kwenye upande mmoja,bahati mbaya nikazigusanisha nyaya huku kwenye ile gari ya Vitz zikiwa bado zipo kwenye betri. Gari nyaya zikatoa cheche na ikazima hapo hapo.Tukajaribu kuiwasha haikuwaka kwa muda ule. Sasa tulikuwa na haraka ya kuondoka nikasema nitaishughulikia kesho.

Je kuna tatizo litakuwa ni betri nimeliua au starter nishaiunguza?
Ujue gari imetengenezwa ina such a way vifaa vya umeme vijichotee/vijipimie current ya umeme kulingana na mahitaji yake.

Short circuit inapelekea kifaa cha umeme kichukue umeme mkubwa kuliko kawaida.

Hivyo inawezekana ushachoma baadhi ya vitu....

Check ipo ukiweka switch on?
 
Habari wakuu!
Nilikuwa nabust gari ndogo ingine IST, sasa baada ya hiyo gari kuwaka wakati nachomoa zile nyaya kwenye upande mmoja,bahati mbaya nikazigusanisha nyaya huku kwenye ile gari ya Vitz zikiwa bado zipo kwenye betri. Gari nyaya zikatoa cheche na ikazima hapo hapo.Tukajaribu kuiwasha haikuwaka kwa muda ule. Sasa tulikuwa na haraka ya kuondoka nikasema nitaishughulikia kesho.

Je kuna tatizo litakuwa ni betri nimeliua au starter nishaiunguza?
Mrejesho? Ulifanikiwa kubadilisha control box
 
Mrejesho? Ulifanikiwa kubadilisha control box

MREJESHO:

Asante kwa wote ambao mlinipa ushauri wenu. Ila baada ya kumwita fundi umeme na kucheki,aligundua kuna fuse zimeungua hivyo tukafanya mpango wa kuzibadilisha na gari ikarudi kwenye utendaji wake kama kawaida na mpaka leo gari inatembea vizuri bila tatizo
 
MREJESHO:

Asante kwa wote ambao mlinipa ushauri wenu. Ila baada ya kumwita fundi umeme na kucheki,aligundua kuna fuse zimeungua hivyo tukafanya mpango wa kuzibadilisha na gari ikarudi kwenye utendaji wake kama kawaida na mpaka leo gari inatembea vizuri bila tatizo
Hua ni fuse tu...
 
MREJESHO:

Asante kwa wote ambao mlinipa ushauri wenu. Ila baada ya kumwita fundi umeme na kucheki,aligundua kuna fuse zimeungua hivyo tukafanya mpango wa kuzibadilisha na gari ikarudi kwenye utendaji wake kama kawaida na mpaka leo gari inatembea vizuri bila tatizo
Siku nyingine uwe makini.

Ndio maana tunashauri madereva angalau wawe na elimu ya form 6 sababu ya changamoto mbalimbali za barabarani na za kwenye gari lenyewe
 
Siku nyingine uwe makini.

Ndio maana tunashauri madereva angalau wawe na elimu ya form 6 sababu ya changamoto mbalimbali za barabarani na za kwenye gari lenyewe
Sawa mkuu. Tunajifunza taratibu
 
Back
Top Bottom