Msaada: Nimepitiliza muda wa kujifungua

Hii mimba yako ya kwanza??

Mimba ya tatu,ya kwanza nina mtoto ana miaka 6 ya pili ilitoka ikiwa na mwezi 1 mwaka jana november ya tatu ndio hii,ya kwanza nilijifungua on time tarehe ile ile ya makadirio
 
Mimba ya tatu,ya kwanza nina mtoto ana miaka 6 ya pili ilitoka ikiwa na mwezi 1 mwaka jana november ya tatu ndio hii,ya kwanza nilijifungua on time tarehe ile ile ya makadirio
Mimba ya pili na ya tatu ilikuaje? Ulichelewa pia?
 
Asanteni wote wana jamii forum mlionisaidia mawazo na ushauri pia,nimejishajifungua salama kwa njia tu ya kawaida shukran na utukufu ni kwa muumba
 
Asanteni wote wana jamii forum mlionisaidia mawazo na ushauri pia,nimejishajifungua salama kwa njia tu ya kawaida shukran na utukufu ni kwa muumba
hongera mwaya,mungu amjalie afya njema mwanao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…