JosephElly
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,432
- 1,035
Kwanza mm si mtumiaji wa kilevi aina yeyote. Ila nahisi nimeathirika kisaikolojia.
-Nimekuwa si muoga wa hata yale yanayostahili kuogopwa.
-nimepoteza mpaka hofu ya mungu.
-sina huzuni hata pale inapotakiwa kuwa na huzuni.
nimekuwa nikikabiliana nahali hizi kwa kuigiza uzuni na woga katika sehemu ambazo mwanadamu anastahili kuogopa au kuhuzunika.
tafadhali msaada wa mawazo doctor
Sometimes people feel that way after a trauma. Kwa kua akili yako inashindwa ku-deal na hali ngumu fulani ilo kutokea, inajifunga kabisa na unakua detached.
Unaishi maisha kama sio yako vile, bila ku-develop emotional bound na maisha yako. uoga, interest, sadness etc. Jaribu kurudi nyuma kidogo uone ni kuanzia mwezi/mwaka gani, na what key event happened to youe life then.
Inaweza kua ni kitu cha kawaida tu ila impact yake ikawa kubwa kwako ki-psychologia.