Northern empire
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 358
- 459
Habari zenu ndugu,
Naomba msaada kwa anaefaham, nilikuwa mwaka Jana nikiomba ajira za ualim sikubahatika . Sasa ajira hizi zilizotagazwa nimejarib kuomba ila wanahitaji account ile ile Sasa password nimeisahau na kila nikijarib inakataa. Nikienda kwenye forgot password najaza taarifa lakin inakataa. Nikiwapigia tamisemi hawapokei.
Naomba msaada nifanyeje?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Naomba msaada kwa anaefaham, nilikuwa mwaka Jana nikiomba ajira za ualim sikubahatika . Sasa ajira hizi zilizotagazwa nimejarib kuomba ila wanahitaji account ile ile Sasa password nimeisahau na kila nikijarib inakataa. Nikienda kwenye forgot password najaza taarifa lakin inakataa. Nikiwapigia tamisemi hawapokei.
Naomba msaada nifanyeje?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app