King Tembo
Senior Member
- Aug 29, 2017
- 124
- 68
Wasilisha suala lako PM mkuu. Tutakupatia msaada wa haraka.Jamn naombei mnisaidie namna naweza kuzipata password zangu manake nmezisahau mpak naogopa kulog out na ninampango wa kubadilisha simu na hii account yangu nishaizoea naombei mnisaidie namna ya kuzipata
Okay nashukuruWasilisha suala lako PM mkuu. Tutakupatia msaada wa haraka.
Karibu.
Hehehe[emoji2]Pambana na hali yako