Habari wana Jf,, kuna rafiki yangu amenitumia textmessage' hii nanukuu: "Kuna mtu amenipigia simu anaitwa Abdala Tito eti anasema kesho niende kwenye usahili posta (dar) UTUMISHI wanatoa ajira kwa watu maalum (ambao ni walimu 'graduates' ambao wataajiriwa kama watumishi ktk idara ya elimu lakin si kufundisha mashulen) tu nami ni mmoja wao. Wewe umeusikia utapeli huu au ni kweli? Mimi sijamuamini hata kidogo japo anajibu maswali vizuri kweli utadhani ndio utaratibu mpya.Najua serikali haiwezi kufanya mambo hivyo". Mwisho wa kunukuu.
Nimekosa cha kumjibu kwasababu sina ufahamu katika hilo. Hivyo ninaomba mnisaidie hii kitu ni kweli ipo au kuna kamchezo kanakofanywa na huyu bwana Abdalla Tito?.
Nimekosa cha kumjibu kwasababu sina ufahamu katika hilo. Hivyo ninaomba mnisaidie hii kitu ni kweli ipo au kuna kamchezo kanakofanywa na huyu bwana Abdalla Tito?.