Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hujaiomba achana nayoWakuu naomba kufahamu, nimetumiwa text na Hawa jamaa kukiwa na verification code as if nimerequest process mahali Fulani, je itakua kampuni gani?
Ifute haraka kama hujai requestWakuu naomba kufahamu, nimetumiwa text na Hawa jamaa kukiwa na verification code as if nimerequest process mahali Fulani, je itakua kampuni gani?
Huenda taarifa zako binafsi zimetumika na Wahalifu wa mitandaoni katika kujisajili kwenye jambo fulani fulani katika shughuli za kiuhalifu. Chunguza kwa umakini Sana juu ya suala hili, unaweza kuja kugundua jambo fulani.Wakuu naomba kufahamu, nimetumiwa text na Hawa jamaa kukiwa na verification code as if nimerequest process mahali Fulani, je itakua kampuni gani?
Ifute haraka kama hujai request
Ifute haraka kama hujai request
Usiifute, huo ni Ushahidi na Uthibitisho ambao unaweza ukakusaidia hapo baadaye kwenye Uchunguzi.Niifute hiyo text?
Yes ndo ninachotaka kufahamu, je jumbe umetokea wapi? Ni jina tuupu halina namba yeyoteHuenda taarifa zako binafsi zimetumika na Wahalifu wa mitandaoni katika kujisajili kwenye jambo fulani fulani katika shughuli za kiuhalifu. Chunguza kwa umakini Sana juu ya suala hili, unaweza kuja kugundua jambo fulani.
Asifute ujumbe husika, isipokuwa anapaswa achukue tahadhari kubwa sana ya kutofuata maagizo ya Mtu huyo aliyemtumia huo ujumbe.
Anapaswa achunguze kiini hasa Cha kutumiwa ujumbe huko.
Asi-click Link za ujumbe aliotumiwa.
NB: Tahadhari za kiusalama mtandaoni: Kuna janga la IDENTITY THEFT humu mtandaoni. Be very careful.
Elimu Elimu elimu
It is a matter of Crime Investigation, especially on the issue of the Cyber Crime Security.Yes ndo ninachotaka kufahamu, je jumbe umetokea wapi? Ni jina tuupu halina namba yeyote