Msaada :Nimeungua na moto wa gesi nitumie dawa gani

Msaada :Nimeungua na moto wa gesi nitumie dawa gani

mludego

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2013
Posts
2,597
Reaction score
3,565
Msaada wenu Dr's humu jamani nimeungua na moto wa gas baada ya kutokea mlipuko wakati napika maeneo niliyoungua ni usoni mpaka sasa nimetumia asali pekee kama tiba ya huduma ya kwanza.

Naombeni ushauri wenu je niendelee kutumia asali pekee ama kuna dawa nyingine naweza kutumia kwa matokeo na matibabu bora zaidi.

Nawasilishahh
 
Back
Top Bottom