Msaada: Nimfanyeje huyu tapeli?

Huyo inabidi umbake,professionally kisha umpeleke polisi huko nakwenyewe umbake in unprofessional way
 
Ulikuwa unamnyonya.
 
Wanikumbusha classmate wangu chuo alimtumia ndugu yake pesa ili afungue biashara....ndugu akamzungusha na biashara hakufungua...!!

Jamaa aliishi km samaki
Asubuh kombe la maji
Mchana maji
Jion ndo kabiiiisaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mpakue 'choo' uyo dogo, pambaf , asilete masihara kabisa, na ukienda polisi jua mtagawana mtaji na polisi
 
Binafsi naamini ktk njia mbili tu za kusolve mambo ya dhulma na zote niliwahi kuzitumia na nikaona mafanikio yake, ila ni vyema kabla haujaanza kuzitumia njia hizi ukae na muhusika ili mzungumze kwa mapana na jishushe bila kujali mtaji ni wa kwako!
NJIA HIZI NI:
1. UCHAWI
2. ELIMU (SHERIA)

Katika njia hizo UCHAWI iko vizuri sana ktk kutoa matokeo chanya kwa mdhulumaji, angalizo nenda kaloge mikoani hasa hasa Mtwara, kama unataka msaada zaidi tuwasiliane nikupe ramani sihitaji chochote toka kwako! Atapigwa kalungu yeye huyo mwenyewe ataileta pesa yako ikiwa taslim! Ataukosa usingizi hadi akupatie chako.
Pole Sana bro, machungu ya kudhulumiwa mm nayajua ila nilimkomesha aliyenidhulumu!
Njia ya Elimu ya sheria ni nzuri ila inachelewesha! Na inamzunguuko mrefu na mwisho wa siku utajikuta umeambulia sifuri.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…