Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
wakuu habari za muda huu,natumai mnaendeleo vizuri na poleni na majukumu ya siku nzima. Naombeni msaada mimi nimemaliza diploma ya clinical medicine(2023)so nimepata changamoto jinsi ya kupata registration number pamoja na kwamba nimefanya malipo yote lakini bado status inasomeka blocked ila imeandikwa upload proffesional certificate lakini haya yote nimefanya lakini hakuna mrejesho pamoja na kwamba nimetuma complain kupitia email yao lakini bado wapo kimya sasa sijui tatizo liko wapi wakuu,naombeni msaada mwenye mwongozo wowote kuhusu hili
Kuna Quality ya Attchments za kuweka nafikiri Havijakidhi vigezo au Hivyo vyeti kuna uwezekano amepiga picha na Sio Kuscan kwa machine..Attachment ulizoweka zimekidhi viwango walivyoviweka? Like pdf picha uliyoattach iko somewhere hujafanya kinachohitajika hiyo mifumo kitu kidogo tu kinaku disqualify
Shukrani mkuuWapigie hawa...
Watakusaidia......
DR ELIZABETH (MCT-Proffesional Develop..) ..0712 835 017
Dr Mashauri Lissi (MCT- CPD) 0674 081 350
Sawa mkuu nitalifanyia kazi hili wazo lakoKuna Quality ya Attchments za kuweka nafikiri Havijakidhi vigezo au Hivyo vyeti kuna uwezekano amepiga picha na Sio Kuscan kwa machine..
UNSawa mkuu nitalifanyia kazi hili wazo lako
Una mda gani umeombawakuu habari za muda huu,natumai mnaendeleo vizuri na poleni na majukumu ya siku nzima.
Naombeni msaada mimi nimemaliza diploma ya clinical medicine(2023)so nimepata changamoto jinsi ya kupata registration number pamoja na kwamba nimefanya malipo yote lakini bado status inasomeka blocked ila imeandikwa upload proffesional certificate.
Haya yote nimefanya lakini hakuna mrejesho pamoja na kwamba nimetuma complain kupitia email yao lakini bado wapo kimya sasa sijui tatizo liko wapi wakuu,naombeni msaada mwenye mwongozo wowote kuhusu hili