Heisenberg
JF-Expert Member
- Apr 26, 2017
- 1,691
- 2,967
Kwanza Niungane na Muhenga Aliyetunga Methali isemayo " Mficha Maradhi Kifo humuumbua"
Na kwa sababu sitaki kifo, nimekuja kwenu kuomba msaada.
Wakuu naandika Thread hii ikiwa ni Saa 9 usiku baada ya kukosa usingizi kabisa licha ya kuwa na uchovu wa wiki nzima inayoishia.
Nimeshituka saa 8 za usiku na kukuta mguu unawasha Sana ila ni maumivu ambayo sometime yanaambatana na Utamu fulani hiviiii
Nikaanza kujikuna, lakini maumivu ndo yanaongezeka kiasi kwamba inabidi nijikune Throughout.
Ki ukweli mimi Naishi Moshi. Nipo kwa Muda sasa maeneo haya na eneo hili lina vumbi sanaa. Imebidi nimuulize jamaa yangu usiku huuu kuwa hili ni tatizo gani??
Amenijibu kuwa ni Funza. Sasa mimi sijui hata hawa funza wapoje. Si unajua tena sisi Watoto wa Das'lam hivi ni vitu vigeni kwetu.
Hivyo wakuuu naomba ABC za kufanya utatuzi wa hili suala maana shidaaaaaaa.
Yani nimekosa amani kabisa.
Pia naomba na njia za kujikinga na janga hilii
Na kwa sababu sitaki kifo, nimekuja kwenu kuomba msaada.
Wakuu naandika Thread hii ikiwa ni Saa 9 usiku baada ya kukosa usingizi kabisa licha ya kuwa na uchovu wa wiki nzima inayoishia.
Nimeshituka saa 8 za usiku na kukuta mguu unawasha Sana ila ni maumivu ambayo sometime yanaambatana na Utamu fulani hiviiii
Nikaanza kujikuna, lakini maumivu ndo yanaongezeka kiasi kwamba inabidi nijikune Throughout.
Ki ukweli mimi Naishi Moshi. Nipo kwa Muda sasa maeneo haya na eneo hili lina vumbi sanaa. Imebidi nimuulize jamaa yangu usiku huuu kuwa hili ni tatizo gani??
Amenijibu kuwa ni Funza. Sasa mimi sijui hata hawa funza wapoje. Si unajua tena sisi Watoto wa Das'lam hivi ni vitu vigeni kwetu.
Hivyo wakuuu naomba ABC za kufanya utatuzi wa hili suala maana shidaaaaaaa.
Yani nimekosa amani kabisa.
Pia naomba na njia za kujikinga na janga hilii