Mchafukoga
Member
- May 25, 2013
- 38
- 3
Mtoa mada kamaanisha kwamba mwanamke lazima awe na class na standard..kukamuana kupo lakini sio zile meneja bank twende, trafic twende, msafisha kucha na miguu twende, daktari kala... Yaani unakuta mtu mpaka inafikia papuchi yale kaipa thamani ndogo sana(kajichoka) haujawahi kuona watu kama hawa..unakuta mtu kila mwezi anatiniwa uti, fungus, pid nk.. Mwili wake kaupa thamani ndogo sana alishageuzwa na kila aina ya mwanaume na sisi wengine tunaamini hata ma wewe ukila demu ka huyo unajipa minuksi tu..ha na kukiondoa au kukitibu.. lkn tiba itakuwa mwafaka km utajibu maswali hapo juu..Kwa nini usianze kuwashangaa wavulana/wanaume ambao wanaomba kutafuna papuchi kabla ya kuoa?