Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama ni za uridhi utajiua siku sio nyingi Biashara ina wenyewe na ukitaka kudumbukiza zote zitaisha zote ,Mvua zinachanganya sana sasa hivi tafuta heka nne ulime mahindi gharama itakuwa kama milioni hivi mpaka kuvuna utauza na kupata milioni nne au tano,utalima tena na kupata mara mbili huku ukiwa na akiba yako benki unaanzia hapo kuuliza habari za duka sasa hivi labda MPESA au saloon ya kiume
Wana jf,nipo chalinze,nina kiasi cha Mil.3,ninataka kuweka duka hapa,ila sina uzoefu na biashara hii.LAKINI pia nimewaza kuwa pengine kiasi hicho nifungue saloon ya kiume au kike.USHAUR TAFADHALI
Wana jf,nipo chalinze,nina kiasi cha Mil.3,ninataka kuweka duka hapa,ila sina uzoefu na biashara hii.LAKINI pia nimewaza kuwa pengine kiasi hicho nifungue saloon ya kiume au kike.USHAUR TAFADHALI
watu tutakuja humu na mawazo mbalimbali jitahidi kuzingatia yale ya upande chanya,tafuta biashara itakayoendana na eneo lako kwa sababu biashara inataka uzoefu kama kitu kingine chocho kile usiweke hela yote kwaa kuanzia,anza na hela kidogo kadiri uzoefu na mtaji utavyoenndele kukua,ukiona kuna ugumu sana na matatizo yanaongezeka na wewe ndio uongeze nguvu maana yake unakuwa unakaribia kufanikiwa, "kukikiwa na mvua kubwa storm huwa inaanza then kunakuwa shawri"all ze best
all ze best be positive and keep that spirit,i hpe kwa mwezi huo utanipa updates za kweli kabisa hapa.......Nashukuru,hope kufikia mwz june 2013 nitakupa feedback
Wana jf,nipo chalinze,nina kiasi cha Mil.3,ninataka kuweka duka hapa,ila sina uzoefu na biashara hii.LAKINI pia nimewaza kuwa pengine kiasi hicho nifungue saloon ya kiume au kike.USHAUR TAFADHALI