Msaada nina mtaji wa Tsh.5 milion nifanye biashara gani?

shikamooni wakubwa wadogo marahaba. Naombeni mawazo yenu nina kiasi cha milioni4 cash ila nahitaji mawazo yenu, ni biashara gani ambayo itakuwa haraka kwa mtaji huo?. Natanguliza shukrani kwa mtakaonisaidia jambo hili.

Go to www.alibaba.com
 
milioni nne ni pesa ndogo sana lakini mi,i naweza nika share nawe biashara ambayo unaweza ukaifanya kwa mtaji mdogo kabisa na ambayo haina headache, stress free pia ni endelevu call0657088003
 
Mambo hadharani haya mambo ya nipigie nikupe ushauri baadae ndo mtu analizwa, mtaji wenyewe mdogo
 

nimekusoma 1500% mkuuuu
 
<br />
<br />
jaman ivi ukiwa mtanzania lazima ufanye biashara basi balaa wengne hata udalali hatujawah.

Mm mwenyewe nimeshangaa sana inamaana identity ya mtanzania ni biashara?


If your not right...go left,,
 
Habari ndugu

nina mtaji wa sh milion 5 naishi dar naomba ushauri biashara ya kufanya.
 
Kanunue samaki kariakoo kwa jumla then kauze rejareja eneo uishilo....
 
Habar yako mdau. c pesa nyingi na c pesa ndogo sana, kwan hata mimi nilianza na mtaji kama huo ni kwa biashara ya KUUZA VIFAA VYA PIKIPIKI(Motorcycle spare parts).
 
uza maziwa fresh,nunua mafriza,na vyombo vya kubebea,wahi mapeema alfajiri ubungo oilcom,utapata maziwa fresh kama ukiweza kutengeneza mtindi itakuwa vyema pia.
otherwise fanya biashara ya mkaaa
kama una interest ya mambo ya usafirishaji ni pm kuna route yenye abiria wa kutosha ka utafiti kadogo nilichofanya unaweza pata 100,00 kwa siku.
gari lipo la kufufua then tunaingia ubia.


hata kitimoto inalipa eeeh mambo ni mengi wewe interest yako ni nini hasa?
 


DO MAWAZO MAZURI SANA SANA MKUU WANGU niliwahi kufungua biashara ya stationery kwa bahati mbaya Tanroad wakapitia maeneo so nina baadhi ya vitu ndani
 
Tafta eneo ambalo halina mawakala wa tigo pesa au m pesa ufungue kibanda pia uuze na vocha.
 
mkuu Karibu Sana
Mji Una uhaba Wa Vipozeo Huu..Tafuta Sehemu Nzuri Anza Biashara Ya Vinywaji Hasa Maji,Soda Na Juise Hapo Hapo Uuze Chips ;Biskuti, Cake Husisahau Na Maziwa Aliyoshauri Ndugu Hapo Juu Nk./////
Jipange Vizuri Ufanye Utafiti Na Ufungua Ofisi Safi Ya Udalali Wa Vyumba;Nyumba ,Viwanja N.k Simamia Kwa Weledi Mkubwa///////


Watoto Mkuu
fungua Duka La Bidhaa Safi Za Watoto kama Pedi, Midoli, Nguo, Dish Za Kuogea, Nyonyo Za Plastik, Neti Za Kulalia ,Nepi, Vifaa Vya Kuchezea N.k///////
Husisahau Kuandaa Mpango Mzuri Wa Biashara(Business Plan) Ili Kupata Mbivu Na Mbichi
Alafu Pweza Wanaliwa Sana Mkuu ila Tatizo Wengi Ya Vijana Wanaofanya Hii Biashara Hawazingatii Tips Za Biashara hasa Usafi Na Huduma Bora Kiujumla(Ukiifanya Kisasa Unaweza Kutusua)
 
Naona mtu anataka kupigwa changa hapa
Kama unania ya kwel ya kumsaidia ushauri kwa nn usimshauri hapa??
Kuna siri gani huko kwenye no za sim??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…