Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
Halafu utasikia watu wanasema ukaombewe. Aisee nakushauri onana na dokta haraka iwezekanavyo. Utapata ushauri mzuri tu, ingawa matatizo kama hayo yanahitaji matibabu endelevu (kutumia dawa maisha yako yote; wakati mwingine)Nina tatizo la kupanuka kwa moyo
Je in tiba gani sahihi kutumia,na ushaur kwa ujumla