Amour justine
Member
- Apr 11, 2018
- 90
- 57
- Thread starter
- #21
DuhNdo hivyo! Unaweza kugoogle dalili za awali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DuhNdo hivyo! Unaweza kugoogle dalili za awali
Wee utakuwa una alage na hali ya hewa pale inapobadilikaNina tatizo la kupata mafua mara kwa mara yaani naweza kua nayo na baada ya siku moja au mbili yamekata na baadaye kurudia tena
Hivi husababishwa na nini?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Acha kugonga papuchi ziliaffectiwa na tricomonium aka papuchi mnuko.
Ulitumia dawa ganiMara ya Mwisho naugua mafua ya kutisha ilikuwa 2004 tangu hapo mwili wangu nilikuwa nautesa na mazoezi nikiugua mafua labda unakuta nimerogwa.
Soma Vizuri au Mafua yamepanda?Ulitumia dawa gani
Tatizo limenuka hivi karibuni kama miaka mitatu sasa lakini miaka ya nyuma sikua na tatizo hilo,na kuna kipindi nikiguswa na vumbi kidogo ni kosa na hata nikilala nikiamka lazima niamke nayoPole sana mkuu kwa tatizo lako. Swali la msingi je hilo tatizo la mafua umekuwa nalo kwa muda gani ? Umeishi sehemu moja tangu uzaliwe au ulishawahi kuhama ? Kama ulishawahi kuhama unaweza linganisha kiasi cha kupata mafua kutoka makazi yako ya zamani na mapya. Pia jaribu kufikiria sehemu ya kazi kama una kazi au shule. Mimi nilikuwa na hilo tatizo nikiwa Morogoro lakini nienda Dar huwa mafua yanapona,nikipeleka pua morogoro nayo hayo kama yametumwa vile.
Ok,sawa kumbe mazoezi yalikutibuMara ya Mwisho naugua mafua ya kutisha ilikuwa 2004 tangu hapo mwili wangu nilikuwa nautesa na mazoezi nikiugua mafua labda unakuta nimerogwa.
Ya mara kwa mara sio ya siku moja.Ok,sawa kumbe mazoezi yalikutibu
Ok,nimekupata mkuuYa mara kwa mara sio ya siku moja.
Nakubaliana na hii mm mwenyewe hii ilinisumbua sana..kumbe tatizo lilikuwa sabuni ile ya citras baada ya kuacha tu nikwa fresh.Una Aleji na baadhi ya vitu mfano parfume au sabuni za kuogea zinazonukia sana. Jaribu kuepuka .
Sasa mkuu katika hiyo miaka mitatu ambayo umekuwa na hilo tatizo unaishi mazingira hayo hayo au umebadilisha mazingira ?Tatizo limenuka hivi karibuni kama miaka mitatu sasa lakini miaka ya nyuma sikua na tatizo hilo,na kuna kipindi nikiguswa na vumbi kidogo ni kosa na hata nikilala nikiamka lazima niamke nayo
Cjabadili mkuu nina mpango wa kubadili mazingiraSasa mkuu katika hiyo miaka mitatu ambayo umekuwa na hilo tatizo unaishi mazingira hayo hayo au umebadilisha mazingira ?
Aleji hiyo, jaribu kupunguza kula red meat afu uone kama kuna mabadilikoYes,mkuu