Mchele_kumwaga
Member
- Dec 27, 2018
- 12
- 2
Huwa unakunywa soda/juice za dukani nk?Wasalam wadau,
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakiz hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.
Njoo inbox, nikushauri kitu kwa simuWasalam wadau,
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakiz hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.
Dalili za ulcers hizoWasalam wadau,
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakiz hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.
kukiwa na chakula tumboni, huwa unaendelea kuhisi linakwangua na kukuunguza? inaelekea una active peptic ulcers... ila nijibu ilo swali kwanza then nikupe ushauriWasalam wadau,
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakiz hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.
Kutokana na tatizo lako, kuna vyakula unatakiwa usivitumie. Vyakula vyenye asidi kali jamii ya machungwa(limao,ndimu n.k), pilipili,maharage n.k unatakiwa uviepuka itasaidia kupungua kwa maumivu kwa kiasi flanWasalam wadau,
Nina tatizo la kuumwa tumbo muda wote iwe nimekula au sijala.Lilianza mwaka 2009,nilipoenda hospital nikafanya kipimo kinaitwa barium meal nikaelezwa nina vidonda vya tumbo,nikapewa dawa lakiz hazikusaidia,nikahamia tiba mbadala haikusaidia.Mwaka huu nimefanya kipimo cha OGD zaid ya mara nne nimeambiwa sina vidonda lakin tumbo linauma tu,
1.kuna muda linawaka moto
2.kuna muda linakwangua
3.kuna muda linajaa gesi
4.kuna muda linavimba
Na hayo maumivu ni hapa juu ya kitovu.
Msaada tafadhal,,kama kuna mwenye experience na hili.
Hakuna tofauti nikiwa nimekula au tumbo likiwa tupu.kukiwa na chakula tumboni, huwa unaendelea kuhisi linakwangua na kukuunguza? inaelekea una active peptic ulcers... ila nijibu ilo swali kwanza then nikupe ushauri
Sent using Jamii Forums mobile app
Kipimo cha OGD hakikuonyesha vidonda
Hammy,hivyo vyakula nimeshasahau radha yake,,muda mrefu sivitumii.Kutokana na tatizo lako, kuna vyakula unatakiwa usivitumie. Vyakula vyenye asidi kali jamii ya machungwa(limao,ndimu n.k), pilipili,maharage n.k unatakiwa uviepuka itasaidia kupungua kwa maumivu kwa kiasi flan
Sent using Jamii Forums mobile app
EXPULSION me ni mwembamba kabisa,,stress kwa sasa ni kwaajili ya maumivu ninayopata.Punguza mwili, stress,
Hauna kitovu kikubwa kilichotoka, VP amiba, typhoidEXPULSION me ni mwembamba kabisa,,stress kwa sasa ni kwaajili ya maumivu ninayopata.
Hapana sina kitovu kikubwa,,nilishapima hivyo sina(amiba,typhoid),,ni muda mrefu nahangaika,toka 2009.Hauna kitovu kikubwa kilichotoka, VP amiba, typhoid
Kama hospitali imeshindikana kabisa jaribu kutumia dawa za asili (tafuta mtaalam wa hizo dawa,wauzaji ni wengi na wengi wao wapo kwa lengo la kutafuta riziki na sio kutibu)Hammy,hivyo vyakula nimeshasahau radha yake,,muda mrefu sivitumii.
Uko wapi na hicho kipimo ulipima wapi? Na baada ya kuambiwa sio vidonda walichukua hatua gani au wewe mwenyewe ulichukua hatua gani.Kipimo cha OGD hakikuonyesha vidonda