Msaada nina ugonjwa wa ngozi kichwani nitumie dawa gani?

yoram26

Member
Joined
Apr 12, 2017
Posts
13
Reaction score
16
Ndugu wanajukwaa naombeni msaada jinsi ya kupona hizo kitu ni chronic zaidi ya mwaka sasa nawasilisha.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 

Attachments

  • IMG-20170710-WA0008.jpg
    74.3 KB · Views: 65
Pole sana kijana,njia mojawapo nzuri ni kunyoa kipara cha wembe kama kuruti wa jeshi.

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…