msaada ninakosa hamu ya kula na kusikia kichefuchefu kila siku asubuhi

msaada ninakosa hamu ya kula na kusikia kichefuchefu kila siku asubuhi

Mechanics

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2013
Posts
295
Reaction score
26
habar wakuu nnapata hilo tatizo kila siju hali hii inanpata sna sana nkiwa na wasiwasi najisikia kichefuchefu na kuacha kula kabisa asubuh sometimes hali hii mpka mchana but jion inapotea msaana my age is 23
 
Umeshajazwa mimba wewe...kama sio mimba basi umeambukiza ukimwi
 
wameshakuribu nenda hospital kwa ushauri zaidi
 
Umeshajazwa mimba wewe...kama sio mimba basi umeambukiza ukimwi

sio kila ishu ni utani mbna mnaharibu maana hasa ya hili jukwaa? Mdau yuko sirias ana shina we unaleta mambo ya mpoki na joti hapa
 
Huenda una intestine virus au bacteria kwa urahisi. Unahitaji anti biotic za uhakika.
 
Hiyo hali ilikua inanitokea sana hata mimi yani bila kujitapisha maxudi hujisikii kula kitu chochote nkaenda kupima u.t.i ikakutwa ndani ya nyumba hivi ninavyoandika sindano namalizia kesho ni 5 kila siku 1.
 
Hiyo hali ilikua inanitokea sana hata mimi yani bila kujitapisha maxudi hujisikii kula kitu chochote nkaenda kupima u.t.i ikakutwa ndani ya nyumba hivi ninavyoandika sindano namalizia kesho ni 5 kila siku 1.
daah yaan mkuu hatta mm nkijtaoisha kidogo ndo napata hamu ya kula
 
HONGERA dada anza kulamba udongo na ndimu na bila kusahau maembe mabichi.....hizo ni dalili za mimba
 
Back
Top Bottom