Msaada, ninasumbuliwa na hali inayopelekea kichwa kuwa na shida

Msaada, ninasumbuliwa na hali inayopelekea kichwa kuwa na shida

Joined
Feb 28, 2025
Posts
7
Reaction score
7
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna mawenge flan au km nataka kupata kizunguzungu

Ila kichwa hakiumi hlf natokwa na jasho sana ata ikitokea nipo kwenye fan au nipo nje ila ntatoka jasho,hii inatokana na nini wadau, halii hii inanitesa zaidi ya miezi 3
 
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna mawenge flan au km nataka kupata kizunguzungu

Ila kichwa hakiumi hlf natokwa na jasho sana ata ikitokea nipo kwenye fan au nipo nje ila ntatoka jasho,hii inatokana na nini wadau, halii hii inanitesa zaidi ya miezi 3

Pole sana.

Ni muhimu ukafika hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi na vipimo ili kubaini kisababishi cha tatizo lako.

Kila la kheri.
 
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna mawenge flan au km nataka kupata kizunguzungu

Ila kichwa hakiumi hlf natokwa na jasho sana ata ikitokea nipo kwenye fan au nipo nje ila ntatoka jasho,hii inatokana na nini wadau, halii hii inanitesa zaidi ya miezi 3
Una damu nyingi kuwa na mazoea ya kuchangia damu
Ukiacha hio hali kuna siku utapata stroke
 
Pole sana.

Ni muhimu ukafika hospitalini ukaonane na daktari ili akufanyie uchunguzi na vipimo ili kubaini kisababishi cha tatizo lako.

Kila la kheri.
Ahsante nitajitahidi niwahi kwenda
 
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna mawenge flan au km nataka kupata kizunguzungu

Ila kichwa hakiumi hlf natokwa na jasho sana ata ikitokea nipo kwenye fan au nipo nje ila ntatoka jasho,hii inatokana na nini wadau, halii hii inanitesa zaidi ya miezi 3
Pole, vipi hali yako yakupata usingizi ikoje?
 
Je umejaribu kufanya haya Mambo

Kupima pressure
Kupima sukari
Kupima ukimwi

Kama hauna hayo Magonjwa je unazingatia lishe bora ,kunywa Sana maji na mazoezi.
 
Je umejaribu kufanya haya Mambo

Kupima pressure
Kupima sukari
Kupima ukimwi

Kama hauna hayo Magonjwa je unazingatia lishe bora ,kunywa Sana maji na mazoezi.
Kesho jumatatu ntaenda hosptal hlf nitarudi na majibu ahsanteni wote kwa ushauri
 
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna mawenge flan au km nataka kupata kizunguzungu

Ila kichwa hakiumi hlf natokwa na jasho sana ata ikitokea nipo kwenye fan au nipo nje ila ntatoka jasho,hii inatokana na nini wadau, halii hii inanitesa zaidi ya miezi 3
Labda una stress, kama siyo hivo bas una presha
 
Habari wana jamvi leo nataka munisaidie kitu mwenzenu huwa najiskia vibaya sana baadhi ya muda na ninapokuwa najiskia hivyo sehemu ya kichwa ndio inahusikia asilimia 100% kama nahisi kichwan kuna mawenge flan au km nataka kupata kizunguzungu

Ila kichwa hakiumi hlf natokwa na jasho sana ata ikitokea nipo kwenye fan au nipo nje ila ntatoka jasho,hii inatokana na nini wadau, halii hii inanitesa zaidi ya miezi 3
Pole sana, nenda hospitali.
 
Back
Top Bottom