NImekuwa nikisumbuliwa na vitu kutembea maeneo nyuma a bega la kushoto zaidi miaka 15..
Kuna kipindi nilikuwa nakaa nyumba yakupanga, mama mmoja aliniambiaga mtoto wake mdogo alimwambia Kaka kuna vitu vinamtembea lakini nilipuuzia.
Ila sasa naona kama haviishi kwa mwenye experience inaweza kuwa nini anisaidia au ashawai kukutana na hii hali.
Asanteni nitafurahi nikisadiwa sijui ni ushirikina au vipi?
Kuna kipindi nilikuwa nakaa nyumba yakupanga, mama mmoja aliniambiaga mtoto wake mdogo alimwambia Kaka kuna vitu vinamtembea lakini nilipuuzia.
Ila sasa naona kama haviishi kwa mwenye experience inaweza kuwa nini anisaidia au ashawai kukutana na hii hali.
Asanteni nitafurahi nikisadiwa sijui ni ushirikina au vipi?