Msaada: Ninasumbuliwa na vitu kutembea nyuma ya bega la kushoto

Msaada: Ninasumbuliwa na vitu kutembea nyuma ya bega la kushoto

toure

Member
Joined
Jan 24, 2015
Posts
29
Reaction score
44
NImekuwa nikisumbuliwa na vitu kutembea maeneo nyuma a bega la kushoto zaidi miaka 15..

Kuna kipindi nilikuwa nakaa nyumba yakupanga, mama mmoja aliniambiaga mtoto wake mdogo alimwambia Kaka kuna vitu vinamtembea lakini nilipuuzia.

Ila sasa naona kama haviishi kwa mwenye experience inaweza kuwa nini anisaidia au ashawai kukutana na hii hali.

Asanteni nitafurahi nikisadiwa sijui ni ushirikina au vipi?
 
NImekuwa nikisumbuliwa na vitu kutembea maeneo nyuma a bega la kushoto zaidi miaka 15..

Kuna kipindi nilikuwa nakaa nyumba yakupanga, mama mmoja aliniambiaga mtoto wake mdogo alimwambia Kaka kuna vitu vinamtembea lakini nilipuuzia.

Ila sasa naona kama haviishi kwa mwenye experience inaweza kuwa nini anisaidia au ashawai kukutana na hii hali.

Asanteni nitafurahi nikisadiwa sijui ni ushirikina au vipi?
Nenda kwa Mwamposa kwa imani pale Yesu yupo.
 
Je hauna tatizoya gesi kujaa tumboni au madonda ya tumbo!?
 
Back
Top Bottom