johappy
Member
- Jun 18, 2017
- 79
- 56
Habari wapendwa mimi ni mama wa mtoto mmoja sasa ni miezi nane yapita tangu mimi na mwenzi wangu tuanze kutafuta mtoto , katika kuhangaika kuna mtu akamshauri atumie mbegu za nyonyo akatumia lakini hatukufanikiwa , nashindwa kuelewa tatizio ni nini naombeni msaada wa mawazo .